Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 12 апр 2025
  • Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016

Комментарии • 298

  • @Joseph-lu4yj
    @Joseph-lu4yj Год назад +19

    Ahsante Jpm hata maisha yangu yamebadilika kwa misimamo yangu niliyo copy kutoka kwako

  • @yusufuheri6524
    @yusufuheri6524 2 года назад +81

    Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"

  • @MagaGotTalent
    @MagaGotTalent 2 года назад +27

    Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢

  • @rosemongi5273
    @rosemongi5273 2 года назад +17

    Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen

  • @emmanuelntalima1717
    @emmanuelntalima1717 2 года назад +15

    Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪

  • @punchlinetz
    @punchlinetz 2 года назад +35

    Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..

  • @dalali_professionalwa_dodo8330
    @dalali_professionalwa_dodo8330 2 года назад +28

    Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa

    • @majumbatv1116
      @majumbatv1116 2 года назад +3

      Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu

    • @dalali_professionalwa_dodo8330
      @dalali_professionalwa_dodo8330 2 года назад +5

      @@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 2 года назад

      Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?

    • @mariamomari-cl6jc
      @mariamomari-cl6jc 6 месяцев назад

      mafisadi wanmtaka raisi kama huy mama

    • @mariamomari-cl6jc
      @mariamomari-cl6jc 6 месяцев назад

      huyu raisi hakuna kitu bira riendetu

  • @edwardnamakonde156
    @edwardnamakonde156 2 года назад +23

    Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 2 года назад +8

    My President forever R.I.P Baba

  • @safarirockerz2781
    @safarirockerz2781 2 года назад +16

    R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..

  • @stevenmundi3142
    @stevenmundi3142 2 года назад +19

    Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa

    • @PatrickMaina-u9l
      @PatrickMaina-u9l Год назад +1

      Haha, yani wewe

    • @FadhilMsuku
      @FadhilMsuku 8 месяцев назад

      Philip mpango
      Palamagamba John kabudi
      Paul makonda

    • @mahobesiku5921
      @mahobesiku5921 7 месяцев назад +1

      Hawez tokea mwamba Kama huyu,tunzen Maneno haya....Bongo hii sku akitokea atapgwa ndan ya saa6 tu

  • @johnmichire7809
    @johnmichire7809 Год назад +11

    Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja

  • @starworldengineering9523
    @starworldengineering9523 2 года назад +10

    Duh magu mungu akulaze maali pema

  • @mialanomangobo9356
    @mialanomangobo9356 2 года назад +8

    Poleni kumpoteza jembe huyo
    Hona ukaguzi wake sehemu nyeti

  • @eliakimyesse6086
    @eliakimyesse6086 3 года назад +18

    Lala pema peponi kamanda,

  • @frenziangella6676
    @frenziangella6676 2 года назад +11

    Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana

  • @robertchuri3222
    @robertchuri3222 2 года назад +13

    Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama

  • @usetobe.1067
    @usetobe.1067 2 года назад +20

    One in a million..Rest easy Buldoza

  • @MaryStambuli-r4p
    @MaryStambuli-r4p Год назад +4

    RIP JPM we really miss you. Mambo haya unaweza kuta yamerudi tena!!!

  • @ndikumanaismail5419
    @ndikumanaismail5419 Год назад +3

    Allah akuhifadhi mzeh wetu

  • @edmundbarongo8649
    @edmundbarongo8649 2 года назад +7

    Great Loss, Mungu utulinde.

  • @jumahassan273
    @jumahassan273 2 года назад +12

    Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija

  • @azadiunatishamumyloveungab6614
    @azadiunatishamumyloveungab6614 9 лет назад +8

    bba ahsante kwa kazi

  • @daudpaulo2867
    @daudpaulo2867 2 года назад +7

    Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani

  • @VincentOdunga
    @VincentOdunga 7 месяцев назад +2

    Poleni Sana ndugu zangu watanzania Kwa kumpoteza mchapa kazi na mjasuri Kwa maamuzi na pya mwenye utu Kwa kila mtu na kuheshimu wakubwa Kwa wadogo wakike na wakiume

  • @stanslausbereghe3819
    @stanslausbereghe3819 2 года назад +10

    Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 7 месяцев назад +3

    Enzi za nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi.
    Chuma ulifanya kazi kiufundi sana roho yako ipumzike kwa amani.

  • @jumaakida5951
    @jumaakida5951 2 года назад +14

    Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo

    • @fakiinajummwe9972
      @fakiinajummwe9972 2 года назад

      Atotokea Kwa kizazi hiki

    • @mpabwas5916
      @mpabwas5916 2 года назад +1

      Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema

  • @tatutumbi4640
    @tatutumbi4640 2 года назад +9

    Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 10 месяцев назад +8

    Nnani anaepitia magufuli 2024 ❤❤❤

  • @issayasosolo6033
    @issayasosolo6033 2 года назад +7

    Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!

  • @ArafatHussein-e2b
    @ArafatHussein-e2b Год назад +3

    Mwaka mmoja bado ni mgeni 😂😂😂😂😂😂😂 7:00

  • @kelvinmugini6793
    @kelvinmugini6793 2 года назад +9

    genious

  • @ArafatHussein-e2b
    @ArafatHussein-e2b Год назад +3

    14:23 MR PRESIDENT YUKO NA QUESTIONING MIND 😎😎

  • @evancykashaga6576
    @evancykashaga6576 2 года назад +5

    Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe

  • @waswajumbe1075
    @waswajumbe1075 2 года назад +3

    Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu

  • @Hbk206
    @Hbk206 9 месяцев назад +3

    We miss you

  • @zainabubalama8869
    @zainabubalama8869 2 года назад +12

    Huyu mwamba alikuwa chuma

  • @CatherineJoshua-fi4gw
    @CatherineJoshua-fi4gw 7 месяцев назад +3

    Naangalia leo Tarehe 08.09.2024, ila naona kama chuma bado kipo hai. Mungu akurehemu JPM.

    • @HAPPYTADEI
      @HAPPYTADEI 4 месяца назад

      Likewise 12/12/2024 I'm watching this I feel like bado yupo hai

  • @paulkarani559
    @paulkarani559 Год назад +1

    4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 2 года назад +11

    Mungu akupe pumziko la Amani

  • @fredythomas1848
    @fredythomas1848 2 года назад +5

    R.i.p jpm🙏🙏

  • @flova7022
    @flova7022 2 года назад +11

    Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas

  • @AffectionateAstrolabe-gj8rs
    @AffectionateAstrolabe-gj8rs 23 дня назад +1

    Jamani kilamala nashindwa kuamini kuwahayupo Tena inaniumaaaa 😭😭😭

  • @mawajacobamaza8216
    @mawajacobamaza8216 4 месяца назад

    The best leader in East and central Africa 💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿💪🏿.

  • @motivational_leader
    @motivational_leader Год назад +3

    Nakukumbuka sana magu 😢

  • @josphatwahome3898
    @josphatwahome3898 3 месяца назад +1

    Kama kuna binaadamu alifariki ikaniuma ni wazazi wangu na huyu mzee, lo! Afadhali Mungu angempa nafasi kuendeleza Tanzania awe kioo cha maraisi wengi wa Africa hawana maana 😢😢

  • @emmanuelsitayo1977
    @emmanuelsitayo1977 2 года назад +5

    Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo.
    Inasikitisha mno.
    Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa

  • @apboy8944
    @apboy8944 8 месяцев назад +2

    Huyu mwamba huwezi kumlinganisha na kitu chochote forever and ever aaan ila basi tu 😢😢😢😢😢😢

  • @mosaidi2633
    @mosaidi2633 3 месяца назад +1

    Dah nchi inajiriwa wazembe hii zehemu nyeti kama hizi😢😢😢

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 7 месяцев назад +1

    Namuona makonda😭😭😭😭mungu akulaze roho ya marehem mahala pema

  • @josephnyamoga4747
    @josephnyamoga4747 3 месяца назад +2

    2025, Magufuli

  • @teophilmbalamwezi
    @teophilmbalamwezi 4 месяца назад +2

    Hii siku watu walikataana hapo ndani, kila mtu na jibu lake😅😅😅

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 2 года назад +8

    Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 4 месяца назад +1

    Mungu nakuomba utupe raisi mwengine kama magufuli ee baba

  • @isayakiyeyeu6295
    @isayakiyeyeu6295 2 года назад +3

    Tutakukumbuka milele😭😭😭😭

  • @clementmusa7799
    @clementmusa7799 2 года назад +2

    Mungu acha aitwe Mungu

  • @anthonynjoroge968
    @anthonynjoroge968 Год назад

    😢Rest well ....Your Excellency Dr John makufuli ,u were a no nonsense leader,

  • @yusuphmligiliche8353
    @yusuphmligiliche8353 2 месяца назад +1

    Wazuri wanaenda mapema. Miss you baba.

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw 2 месяца назад

      Same here😢😢😢

  • @josphatwahome3898
    @josphatwahome3898 4 месяца назад +1

    Kama ni mimi nigefanya tu nimekufa siwezi kubali aibu kama hii 😔

  • @stn4873
    @stn4873 7 месяцев назад +2

    Mkuu alikua anaenda sehemu akiwa na taarifa nzuri kabisa, alafu anakuhoji kuchekecha kukupima aone uwajibikaji wako ukoje.

    • @frida-oi6kw
      @frida-oi6kw 2 месяца назад +1

      😂😂😂😂😂 yani nimemmiss sana😢😢😢😢😢

  • @AugustineNyanza
    @AugustineNyanza Месяц назад +1

    Just imagine .... airport hapo hakuna ukaguzi kabsa sasa sehem zingine inakuaje😊😢??

  • @AbuodSeleman
    @AbuodSeleman 7 месяцев назад +1

    kazi kwa vtendo

  • @bonfaceomuhande6332
    @bonfaceomuhande6332 Год назад +1

    That's management indeed.everyone must be accountable for his docket

  • @AffectionateAstrolabe-gj8rs
    @AffectionateAstrolabe-gj8rs 23 дня назад +1

    Kilamala nikienda bukoba nikafika chato nakuona kazi alizofanya uwanaliaaaaa😭🤭

  • @JosephNgoga
    @JosephNgoga Год назад +3

    Dunia mzima tulipoteza Kiongonzi❤❤

  • @FaridaIbrahim-ym6jy
    @FaridaIbrahim-ym6jy Год назад +1

    Rest in peace

  • @allyzezefu7949
    @allyzezefu7949 5 месяцев назад +1

    Yaani huyu raisi no one kwakweli

  • @deswaggz6185
    @deswaggz6185 2 года назад +6

    Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu

  • @tillionsmon6131
    @tillionsmon6131 2 года назад +5

    Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.

  • @clementmusa7799
    @clementmusa7799 4 месяца назад +1

    Kama utasema huyu hakuwa mzuri basi dhambi itakuwakia

  • @EmmanueliBahati-j8e
    @EmmanueliBahati-j8e 5 месяцев назад +2

    Kuna jamaa anatoa macho hapo

  • @mfarijikibinga9281
    @mfarijikibinga9281 2 года назад +4

    daah, RIP JPM

  • @laylatMuhammad
    @laylatMuhammad 10 месяцев назад +3

    Wallahi angekuwepo mpk saiv tungekuwa mbali vby mno😢

  • @FaroukBaduwel-o1r4q
    @FaroukBaduwel-o1r4q Месяц назад

    MUNGU akuweke mahala pema peponi ameen,

  • @justinejackson1731
    @justinejackson1731 15 дней назад

    Ila maisha👋 pumzika kwa amani chuma JPM🙏

  • @edrickniwamanya5665
    @edrickniwamanya5665 Год назад +1

    R.I.P dady😭😭😭😭😭😭😭

  • @mpabwas5916
    @mpabwas5916 2 года назад +3

    Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri

  • @fadhilimbilinyi274
    @fadhilimbilinyi274 9 лет назад +14

    Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...

  • @abubakarsaid7303
    @abubakarsaid7303 3 месяца назад +1

    Huyu jamaa alikua na uchungu na tz

  • @AgnessJohn-v8p
    @AgnessJohn-v8p 4 месяца назад +1

    Hatutapata rais kama huyu

  • @DavidSiminzile-hd9bi
    @DavidSiminzile-hd9bi 8 месяцев назад +1

    Byan huyu Mwamba Mungu ndo anajua

  • @ishipalemypasco2567
    @ishipalemypasco2567 2 года назад +6

    Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda

  • @papangoda229
    @papangoda229 2 года назад +4

    Ulinidanganya sindio

  • @alexmpoke2610
    @alexmpoke2610 2 года назад +13

    Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika

    • @huguetteomari3198
      @huguetteomari3198 2 года назад +2

      Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,

    • @huguetteomari3198
      @huguetteomari3198 2 года назад +3

      Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,

    • @bickosichula986
      @bickosichula986 3 месяца назад

      hayati​@@huguetteomari3198

  • @johnybuhyrwaafro-optimist3724
    @johnybuhyrwaafro-optimist3724 5 дней назад

    Who still listening for this 8/04/2025

  • @its_momanyi
    @its_momanyi 2 года назад +4

    When the public is rotten, there won't be civilization in a country. I still can't believe this great is no more. R. I. P Daktari

  • @ArstaricoAzaria
    @ArstaricoAzaria 7 месяцев назад +1

    Millard unanikumbusha mbali

  • @chrissamani7921
    @chrissamani7921 2 года назад +1

    Mising you so much my przdt😭

  • @fedrickmaganga2693
    @fedrickmaganga2693 2 года назад +3

    Good job

  • @EmmaroseJoseph
    @EmmaroseJoseph 6 месяцев назад +2

    MUNGU alitupa zawadi ya muda ilitufahamu mengi na ulipofika wakati aliouamuru yeye MUNGU akamchukua BWANA Ulitoa NAWE ulitwaa JINA LAKO LIHIMIDIWE

  • @ArafatHussein-e2b
    @ArafatHussein-e2b Год назад

    HII SIKU KUNA MTU ANGELIWA KICHWA HAPA😂😂😂😂 10:32

  • @SalimuNoti
    @SalimuNoti Месяц назад

    Chuma cha kazi kimeenda hicho du!! mungu amlehem

  • @tedroyc9897
    @tedroyc9897 2 года назад

    You went too soon ,Much love from Rwanda

  • @MuhhamadMsigala
    @MuhhamadMsigala Год назад +1

    😢😢 r.i.p Jpm

  • @menyengeralesinoi9647
    @menyengeralesinoi9647 10 месяцев назад +1

    Sasa ulikufa wabunge wako siku hizi wanapiga minada tu rasilimali za nchi,deni trilioni 92😢

  • @RamadhaniMangwira
    @RamadhaniMangwira 7 месяцев назад +1

    Jembe sana mwamba alikuwa

  • @richardmalley68
    @richardmalley68 2 года назад +10

    Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika

  • @amosalphonce1631
    @amosalphonce1631 11 месяцев назад +1

    Dah 😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 5 месяцев назад +1

    MAWASILIANO (COMMUNICATION) NI MUHIMU SANA KATIKA SEHEMU ZA KAZI. KWA NINI HAMKUTA ( BREFING NI MUHIMU) ASUBUHI KABLA YA KUANZA KAZI?